Makala
Mwanzo
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu
Uliza Suala la dini
Jiunge na Mtandao

 

  MASWALI NA MAJIBU-Ndoa na Talaka  


Ndoa na Talaka-Sehemu ya Nne                              
 
  1. Salaam Aleikum, mimi ni mke mwenye watoto 6 naishi ulaya.Kuwa na watoto wengi huku ni shida sana hivyo kwa bahati sasa hivi nimepata mimba na ni changa bado, je sheria inaniruhusu kuitoa?kwani huwa nadhoofika sana kiafya na siwezi kupata mtu wa kunisaidia kuwatunza watoto tena ni wadogo sana na Baba yao anafanya kazi.

  2. Mimi ni Mke wa Mtu na nina watoto 6 na naishi huku Ulaya mama yangu ni mgonjwa huko Afrika hata mimi nimgonjwa na nataka kusafiri kwenda kumuona jee, naruhusiwa kusafiri peke yangu bila ya mume wangu? kwani gharama ya nauli kwa familia yangu yote ni kubwa sana!

  3. je uislamu unaruhusu baba na mtoto wake kuowa mtu na ndugu yake

  4. swali, nina ndugu yangu ambaye alizaa na mwanamke bila kufunga ndoa, kwa bahati huyo ndugu yangu umri wake ukaisha yaani mwenyezi mungu amemchukua (amefariki. sasa baadhi ya ndugu wanataka yule mtoto aliyekuwa amezaa nje ya ndoa marehemu akombolewe ili awe mtoto aliachwa na marehemu.je inawezekana,kisheria ya dini inakuwaje

  5. je msichana wa kiislamu akiolewa aweza kukata uhisiano wa wazazi wake au ndugu zake

  6. mimi  ni  muislam  ,  nimezaliwa  katika  uislam,    nimeoa,  lakini  mke  wangu  alikwenda  mji  mwengine  kutafuta  maisha,  ili  halafu  mimi  nimfate,,,  lakini  uwezo  wa  mimi  kumfata  ni  mgumu  kwani  yuko  mashariki  ya  mbali,  sasa  ni  muda  wa  miaka  5,  au  sita  na  anadai  hanitaki  tena si  mke    wake,  na  mimi  nampenda  nikaoa  mke  mwengine  na  huku  bado  namtegemea  yeye  arejee  turudi  kama  mke  na  mume,  je  ?  unanishauri  ni  ni?   ni  muache,  au  akirejea  ni  mke  wangu,  au  nitoe  talaka,? nategemea  zaidi  toka  kwako,,,maasalam,

  7. IKIWA MUME NA MKE WANAISHI NYUMBA MOJA LAKINI KILAMTU NA CHUMBA CHAKE KWA MUDA WA MIAKA 5, MUME HAWEZI KULALA NA MKEWE NA MKE AMEVUMILIA SANA ANAHAKI YA KUOMBA TALAKA (INAMJUZIA MWANAMKE KUOMBA TALAKA.)

  8. Je, mwanamke(muislam)anaruhusika kuzuru makaburi ili kuombea dua maiti?
  9. swali nauliza mimi ninamwanangu anataka kuolewa na nimetoa idhini kwa mtu mwengine amuoze mume mwanangu na mimi nipo hapohapo je inafaa au haifaa sababu wengine wanasema inafaa wengine wanasema haifai je jibu sahihi nilipi?

  10. Swali:mimi nina mke na mtoto,na nilikubaliana na mke wangu kuhusu swala la kutafuta maisha na sasa nikombali na yeye kwa muda wa miaka miwili,Alhamdulillahi tunawasiliana kwa simu na vilevile nnamtumia hela kila baada ya wiki mbili,sasa kumetokea mtu kaniambia ya kwamba kuna miezi imewekwa kwenye dini ikiwa hujamuingilia mkeo kwa mda wa miezi mnne unakuwa umeshaachana naye, je,mada hii nikweli na kama nikweli nifanyeje? kwani kuna malengo ambayo tumeyapanga mimi na yeye mke wangu na bado hatuja yafikia na bado itachukuwa mda wa mwaka mwengine.



 

JIBU

 

Rudi Nyuma                                                  Endelea Mbele


| Tuandikie |