Makala
Mwanzo
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu
Uliza Suala la dini
Jiunge na Mtandao

 

  MASWALI NA MAJIBU-Swala  


Swala-Sehemu ya Tano                              
 
  1. Je ni thawabu gani mtu anapata akitoa uradi baada ya swala?Pia ni uradi upi unatolewa kwa wakati upi?

  2. Muislamu kwenda kuangalia maiti ni ruksa au hairuhusiwi, Kwa kifupi maiti
    kama vile wasio kuwa Waislamu wanavyoionyesha na mimi kwenda kuangalia naruhusiwa.
    Nitafurahi sana nikipata jibu with reference from Hadithi au kitabu chetu
    kitukufu.

  3. Je, yafaa mtu kuswalisha kwa mfano akasoma suratu Twaha  kama aya 5 hivi au kumi za mwisho kisha akarukuu  na kusujudu kisha akija tena rakaa ya pili mfano asome Wanaziati hivyo hivyo tuseme aya tatu za mwanzo au aya mbili    tatu za mwisho ilimradi asimalize ?

  4. Je, inafaa kuswalisha msikitini kwa kelele sana mpaka majirani au walioko karibu na mbali wakawa mtu unababaika kama uradi wako wasoma inkuwa huwezi au kama waswali pia wababaika hujui umfuate yeye huyo imamu na huko msikitini , na hii yote ni haya maspika ya sasa je inafaa basi waweke sauti juu ?

  5. Swali langu ni mimi nimeishi na mwanamke asiye muislam mimi nikiwa muislam,baadae amesilim na anasoma dini na tumefunga ndoa, je ni halali?

  6. Mwanamke anatakiwa atie vipi udhu kichwani?kwa mfano maji yaguse nywele au utosi,na maji yaguse nywele zote au utosi wote.

  7. suala langu nikitaka kujuwa nnamtoto wa nduguyangu anataka kujuwa, ana mtoto wa kike,amebalekh umri wa miaka 9 unusu, bado anaakili za kitoto sana na wazee wake wanajitahid kumuhimiza kuswali anakuwa haswali mpaka aambiwe, na kujifunga mitandio ndio hayawezi hata kidogo, hukumu ya wazee wa mtoto huyu ni nini.

     


 

Rudi Nyuma                                                  


| Tuandikie |