Makala
Mwanzo
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu
Uliza Suala la dini
Jiunge na Mtandao

 

  MASWALI NA MAJIBU-Swala  


Swala-Sehemu ya Nne                              
 
  1. Assalam Alaykum. Suala langu ni kuwa jee wakati mtu anasikiliza Qur-an na ikasomwa aya amabayo inalazima kusjudu, na huyu mtu hayupo katika tohara, au hana udhu, au yupo katika janaba, na jee kama yupo katika mazingira amabayo anawasi wasi juu na usafi wa hapo pahala mfano hana msala, afanye nini ?

  2. Nafahamu kuwa chombo kikinuswa na mbwa nikikoshe mara saba moja wapo ni kwa mchanga, napenda kuuliza: siku moja nilikuwa natembea mara nikahisi kuna kitu kimenigonga mguuni kwa kutizama nikamuona mbwa anapita mbele yangu kwa hiyo atakuwa yeye ndio alienogonga.Jee suruali yangu nitatahirisha vipi? natakiwa niikoshe kwa mchanga au mara ngapi,ila mimi niliikosha kwa kawaida tu lakini sijawahi kuisalia bado kwani nina wasi wasi nayo. Naonmba ufafanuzi na ALLAH atuzidisie elimu yenye manufaa Amin.

  3.  MIMI NAKUWA NATOKA NYUMBANI KABLA YA SALA YA ADHUHURI NA HUWA NARUDI KUTOKA KAZINI BAADA YA LAASIRI NA KAZINI SIPATI KUSALI JEEE  NISALI VIPI ILI NIWEZE KUKAMILISHA SALA ZANGU?

  4. naomba kufahamu zidi namna ya kuzisali hizi sunna tatu
    1)AWABIN
    2)ISHRAQ
    3)DHUHA

  5. Kati ya sala tano tulioteremshiwa Waislamu Adhuhri, Al Asry, Mahgrib, Ish'a na Al Fajri, ipi sala ya kwanza?

  6. Kuna hadith katika sahih bukhar isemayo hivi ( sama hani kwa kuwa huenda ni ka inukulu vibaya ) Eti Umar r.a.  ndiye mu anzili shi wa swala jamaa ya Tarawehe, samahani kuna kitu ambacho mimi mwenye we nina weza nika sema kuwa ni uzushi kwa watu ambawo hawa taki ma sahaba.
    Nili kuwa nina hitaji msaada wenu na ushauri ( ni vipi hadith kama hizi zina weza ku igwa na ku bainisha uha kika na kutolewa katika sahih buhari )
    kwa sababu nikama tu juwa vyo mtume Muhamad s.w.w. mwenye we kasema "Nina waachia vitu vi wili ikiwa mta vi fuata hamta potea kamwe ( Qor'an & Suna ) " sasa ikiwa mtume s.w.w. ka acha hivyo vitu viwili itakuwa je katika kimoja mwahi vyo papa tikane emo vitu ambavyo wana sema kuwa vili kuwa kabla yake ? mimi nina ona hiyi ni mi pango ya wenye kuchukia ma sahaba ! ikiwa tarawehe ya jamaa ika anzishwa nyuma ya mtume s.w.w. vipi hayo ya patikane katika vitu ambavyo ame viacha ( kwa upande wangu mimi kwa ku pitia hii kauli ya kuwa ni me waachia vitu vi wili, bila shaka ya nyuma yaka andikwa aje ka tika suna ).
     
    Kwa kuma li zia ili kuweka wa Islam wenza ngu kwenye mwanga :
    Ikiwa kweli hiyo ni adith ya mtume s.w.w. ili pokelewa na nani na ku toka kwa nani ( usi sahau wana sema ni baada ya mtume s.w.w.) Nina taka msaada kwa kujuwa ukweli zaidi kuhusu haya na kama si ukweli tufanye nguvu sasa ya ku towa maneno kama haya katika hadith za mtume s.w.w.
    Nina ku mbusha : NIME WAACHIA VITU VI WILI IKIWA MTA VIFUATA HAMTA POTEA

  7. Swali langu napenda kufahamu kuhusu kukubalika kwa dua,katika sijda dua inakubalika.Je ni katika sijda ya swala hizi tano za lazima au swala za sunna?
     
    Pia kabla ya kutoa salam katika swala pia napenda kufahamu  katika swala hizi tano au za sunna?

  8. Kati ya sala tano tulioteremshiwa Waislamu Adhuhri, Al Asry, Mahgrib, Ish'a na Al Fajri, ipi sala ya kwanza?

  9. Ikiwa mimi nimechelewa wakati wa SALA katika ile takbira ya kwanza ya
    kisimamo cha surat-fat'ha, Kisha nimemkuta imamu yupo katika rukuu (kashika magoti) na mimi pale nataka kumuwahi imamu katika hali ya kawaida na wala sio kukimbilia.
    JE, mimi itanipasa nilete Takbira MBILI AU MOJA tu?. Nikiwa na maana kwamba mimi niliyechelewa naweza kuleta takbira moja tu kisha nikarukuu moja kwa moja Au Itanipasa nilete takbira mbili (ALLAH AKBAR -ya kufungua Sala, kisha nilete nyingine ALLAH AKBAR -ya kurukuu)??

  10. Naanza kwa kumshukuru MwenyeziMungu Mola wa Viumbe wote na kumtakia Rehma Mtume wetu Mohamad(SAW).Ama baada ya Utangulizi ningependa niulize suala (1)Mbwa ni najisi suala je vipi kuhusu wale ambao hufugwa majumbani ama kwa ulinzi au kwa usasi ? (2)Kuhusu suala la Udhu huku Marekani nimewaona wanatia udhu lakini hawavui soksi au za kawaida wala si za ngozi tena hufanya ishara tu mara moja tu tafadhali naomba majibu kwa uhakika na ikewezekana nionyeshe wapi nitapata ushahidi . ??


     

JIBU

 

Rudi Nyuma                                                  Endelea Mbele


| Tuandikie |