Makala
Mwanzo
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu
Uliza Suala la dini
Jiunge na Mtandao

 

  MASWALI NA MAJIBU-Masuala mengine ya Dini  


Masuala mengine ya Dini -Sehemu ya Sita                              
  1. Je; KUFUATA HAWA MAIMAMU WANE Hanafi, Hambali, Malik na Shafi, ni haramu? Kwa naswi ya Kuran na hadithi za Mtume(SAW)?, au siharamu? asalaamalykum, nashukuru kwa Mola mtukufu kwakuweko site hii ya dini kwa kiswahili. Suali langu naomaba unifahamishe Je; KUFUATA HAWA MAIMAMU WANE Hanafi, Hambali, Malik na Shafi, ni haramu? Kwa naswi ya Kuran na hadithi za Mtume(SAW)?, au siharamu?

  2. JEE KUNA HEKIMA GANI KWA MTUME KUOA WAKE MKUBWA? NAJEE KWA SISI WAFUASI WAKE TUNAWEZAJE KUITUMIA HEKIMA HIYO KAMA IPO?

  3. leo kwetu unguja kumejiokeza watu wasiokuwa wa dini yetu wananunua ardhi na kama inavojulika sehemu kubwa ya ardhi ya hapa ni ya kunyanganya na upande wa pili tunaambiwa haifai kununua kilichodhulumiwa swali tukiwachia wanunuwe hao wasiokuwa katika sisi ardhi wataimaliza sisi haturuhusi kukununua kwa nilivyo fahamu mimi jee tufanye nini tuwachie wanunue


 

JIBU

 

Rudi Nyuma                                                  


| Tuandikie |