Makala
Mwanzo
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu
Uliza Suala la dini
Jiunge na Mtandao

 

  MASWALI NA MAJIBU-Ndoa  


Ndoa na Talaka -Sehemu ya Tano                              
 
  1. Napenda kujua hadi kuitwa Swahaba unatakiwa kuwa na sifa zipi, au ni wale wote waliokuwepo kipindi cha Mtume na wakapigania dini?  Na je wanawake nao hutumika jina lipi? Ni wanaume tu ndio hutumia jina hilo la swahaba. Maana hata wanawake walipigania dini je wao huitwaje?   

  2. Suala langu ambalo ningeomba ufafanuzi wa kina ni kama lifuatalo:-
    1.Je kitendo cha muislam kuhama nchi yake ya asili na kwenda nchi nyingine kwa sababu za kiuchumi inaruhusiwa?
    2. je muislam huyo mara afikapo safari yake, je anaruhusiwa kuongopa kama yeye ni mkimbizi katoka sehemu fulani ambayo inajulikana kama ina matatizo( eg somalia, burundi etc) ili apate kuruhusiwa kukaa ktk ile nchi?
    3. Ktk hizi nchi zinazoitwa 'dunia ya kwanza', huwa wanatoa misaada kwa hawa wakimbizi, kama vile nyumba ya bure, pesa ya chakula, elimu, nguo na mengineyo... Je muislamu huyu anaruhusiwa na yeye kupokea vitu hivi?
    NB: Nchi hizi huwa wanaweka masharti kwamba kama una uwezo wa kufanya kazi basi hauruhusiwi kupata msaada uwapo nchini, lakini kuna baadhi ya watu wanafanya kazi na pia wanaomba hiyo misaada iliyotajwa hapo juu kutoka ktk hizi serikali.
    4. watu hawa 'wakimbizi', wengi husema kuwa wapo ktk nchi za kikafiri, hivyo basi ni halali kuchukua mali ya kafiri, je hii ni sahihi. 
    5. Je kuna hukumu gani kwa watoto ambao wanazaliwa na kukuwa ktk familia ambazo zipo ktk mfumo kama uliotajwa hapo juu.

  3. Ndugu zetu wahusika,mimi ni mmoja kati waislam tunaoishi London.Pamoja na dunia kuwa fupi kwa maendeleo lakini bado tunatatizwa na namna ya tarehe za Kiislam hasa inapokaribia Mwezi Mtukufu Wa RAMADHAN.Imekuwa mpishano ni mrefu kuliko hata Dunia jinsi ilivyopishana,hivi sasa pia tumetafautiana sana katika funga za Miraji.Ninachowaomba Ndugu zetu mtuelimishe Nini hasa Miraji,imetokea wakati gani ni ili tuipate sahihi ni wakati gani inajuzu kufunga Miraji.Kwa hayo machache naomba maelezo hata kama kwa kirefu ili tuamshane

  4. Nini mtizamo wa uislam juu ya suala la uhamishaji makaburi. ikizingatiwa kuwa kipindi hiki ndio tuna mtihani  huu ambao makafiri wanaona ni jambo linalostahili.

  5. Mimi ni muislam ninaeishi katika nchi za Wazungu nauliza jee dini yangu inaruhusu kuishi huku?

  6. swala langu ki kuhusu adabu ya mtoto wa kiume kwa mama yake ? Je mtoto wa kiume akisha kuwa balegh akil,yaani mtu mzima,ana ruhusa ya kujitafutia maisha yake bila ya kumshauri mzazi wake ?? mtoto wa kiume alitaka safiri uzunguni kufanya kazi (uzunguni huko aliko, anafuata dini, na uislamu uko kwa wingi), akawaeleza wazee wake?baba yake akakubali ende lakini mama yake anachukia uzunguni na akakataa kabisaa asiende.kijana huyu ilipowadia wakati wa safari alimuaga mama yake lakini mama akakataa kumsikiza.kijana akasafiri na kupiga simu,lakini mamake hataki hata kusema nae.sasa ni mwaka mzima hajaongea na mwanawe na hataki hata kumsikia sauti.jee kijana huyu huwa amekosa radhi ya mamake?? na kisheria huwa amekosa?? japo  yeye yuwataka kujumuika na mamake na kumpa heshima sana, lakini mamake ndie aliemfungia mdomo.jee mama huyu anapata dhambi kwa kumnyamazia mwanawe? na kidini ni haki zipi ,kijana huyu alonazo kwa mamake??? na jee yupi ndiye mwenye makosa???

  7. suala langu ni kuhusu hawa watoto wa nje ya ndoa (zinaa). Hapo kwanza nilichanganyikiwa kuhusu ile hadithi ya mtume kama huyu mtoto asijiite kwa nasabu ya baba yake. Je, ajiite kwa nasabu ipi, tena na kama huyu mtoto amejaaliwa kupata uwezo na hamuangalii huyu baba ambaye amemzaa kwa nje ya ndoa. Je, ana jukumu lipi au anapata dhambi?

  8. Asalaam aleikum! kama umefiwa na mzazi wako ni dua gani za kumuombea katika maisha ya uzima wangu? na nina imani kuna dua nyingi na sura nyingi katika kuruani naomba mnitajie dua na sura na nyakati zifaazo kumuombea mzee wangu!na marehemu wengine!na ni mambo gani mengine ambayo mimi naweza nikafanya thawabu zake zimwendee marehemunaomba mnifahamishe. Asalaam aleikum! kama umefiwa na mzazi wako ni dua gani za kumuombea katika maisha ya uzima wangu? na nina imani kuna dua nyingi na sura nyingi katika kuruani naomba mnitajie dua na sura na nyakati zifaazo kumuombea mzee wangu!na marehemu wengine!na ni mambo gani mengine ambayo mimi naweza nikafanya thawabu zake zimwendee marehemunaomba mnifahamishe.

  9. je inajuzu kwa wanaume umri umepindukia miaka 15, kutia manukato mpaka yakasikilizana harufu yake?

  10.  wapi tunapata sharia ya kuua kwa wale wenye kupatikana na kosa la kuzini?


 

JIBU

 

Rudi Nyuma                                                  Endelea Mbele


| Tuandikie |